Mbunge wa Kawe MH. Josephat Gwajima

31 Aug . 2021

Aliyekuwa mlinda mlango wa Mwaadui FC iliyoshuka daraja, Mussa Mbisa akishika jezi ya timu yake mpya ya Coastal Unioni ya Tanga baada ya kusaini nao mkataba wa miaka miwili.

31 Aug . 2021

Timu ya taifa ya wavu ya Tanzania ilipokuwa inacheza dhidi ya Kenya.

31 Aug . 2021

Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa (kushoto) na Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima (kulia)

31 Aug . 2021

Mbunge wa jimbo la Muheza Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA

31 Aug . 2021

Cristiano Ronaldo akiwa na muonekano wa jezi ya Manchester United (kushoto) alipokuwa anaichezea klabu hiyo 2003-2009 na akiwa muonekano wa jezi ya ugenini ya klabu ya Juventus alipoichezea 2018 hadi Agosti 2021.

31 Aug . 2021

Picha ya pamoja Msanii Shilole na mumewe Rommy 3D

30 Aug . 2021

Jake Paul (Kulia) akimtwanga ngumi mpinzani wake Tryone Woodley.

30 Aug . 2021

Ruben Dias (pichani) mara baada ya kusaini Mkataba na Manchester City

30 Aug . 2021