Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfumo wa uwekezaji kikwazo kwa wawekezaji

Tuesday , 19th Jan , 2016

Tatizo la mfumo wa upatikanaji wa ardhi limeendelea kulalamikiwa kuwa tatizo linalofanya kukwamisha shughuli za uwekezaji katika maeneo mbalimbali nchini hususani mkoani Lindi.

Mkuu wa mkoa wa Lindi Jordan Rugimbana

Hayo yamebanishwa na mwakilishi wa mwekezaji kutoka nchini Ufaransa wa kampuni ya Cassava Starch of Tanzania Corporation LTD,.ambao wameshindwa kufanyia kazi azma yao ya kuanzisha kiwanda cha kutengeneza wanga katika eneo la Mtama, kitakachokwenda sambamba na ulimaji na ununuzi wa zao la mhogo ikiwemo kutoka kwa wakulima, kwa madai kwamba hali hiyo inasababishwa na mlolongo mrefu wa mfumo wa upatikanaji wa ardhi,

Akitolea ufafanuzi suala hilo mkuu wa mkoa wa Lindi Jordan Rugimbana, amekiri mfumo uliopo kukwamisha hali hiyo ingawa maeneo mengi yapo wazi kwa shughuli za kilimo na uwekezaji na kwamba kwa sasa ameanza kufanyia kazi hali hiyo kwa kuwatambua wawekezaji wote waliopo katika mkoa wake na kujua mahitaji yao na kile wanachofanya ambapo zoezi hilo la kuwapatia maeneo litawashirikisha wananchi.

Takwimu zinaonesha mkoa huo una eneo kubwa la ardhi ambalo linafaa kwa shughuli za kilimo lakini halitumiki,huku watafiti wakiwa tayari wamewawezesha kupata mbegu bora za aina mbalimbali kwa ajili ya kilimo cha mhogo.

Nao baadhi ya wananchi wa Mtama wilayani Lindi wameziomba mamlaka husika, kuhakikisha wawekezaji hao wanapata eneo la ukubwa wa hekta 6000 kama walivyoomba ili waanzishe kiwanda hicho cha kutengeneza wanga na wao waweze kunufaika kiuchumi na fursa mbalimbali zikiwemo za ajira na maendeleo mengine.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani