Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu za kukamatwa kwa Meya wa CHADEMA

Friday , 16th Nov , 2018

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia a Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU kwa tuhuma za kupokea rushwa ambapo ni kinyume na sheria za makosa ya jinai nchini

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe.

Taarifa za kukamatwa kwa Meya huyo zilianza kusambaa jana kupitia mitandao ya kijamii, zikimtaja Meya huyo kuwa alikuwa kwenye moja ya hoteli mjini Iringa, ambapo alikutwa na fedha hizo baada ya kuwekewa kwa mtego.

Akizungumza na www.eatv.tv Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Peter Msigwa amethibitisha kukamatwa kwa Meya wake wa Manispaa ya Iringa ambapo amesema "ni kweli kiongozi (Meya) amekamatwa na mimi niko Dodoma nitahakikisha mpaka mchana nalifuatilia suala hilo".

Meya Alex Kimbe amekuwa akiingia kwenye migogoro ya mara kwa mara na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi kutokana na sababu mbalimbali za kiutawala, ambapo hivi karibuni alinukuliwa akimtaka Mkuu wa Mkoa wa Iringa kuomba radhi

Kwa kiongozi mzuri anapaswa ajitafakari, kama Waziri ameomba radhi kwa niaba yake yeye pia Mkuu wa Mkoa aombe radhi, lakini pia unakumbuka mambo yaleyale ambayo sisi tuliyasema kwamba anakiuka sheria”, Alex Kimbe.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani