Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tunalazimika kukubali kuuwawa"- Mbowe

Wednesday , 14th Feb , 2018

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe amewataka wanachama wa chama hicho kuwa waangalifu juu ya usalama wao katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi ili wasiweze kudhurika na watu wenye nia mbaya nao.

Mbowe ametoa kauli hiyo wakati alivyokuwa anazungumza na waandishi wa habari juu ya kifo cha Katibu wa Kata Hananasif, Daniel John kilichotokea jana katika mazingira ya kutatanisha

"Polisi wanawaonea watu wetu, wanawauwa. Tumelalamika mara nyingi mpaka tukafikia hatua ya kususia chaguzi, tunafikili labda wenzetu wanajifunza kwa hilo. Lakini bado tunaona vyombo vya serikali, ni watu ambao wanastahili kusimamia haki kati pande zote, ndio hao hao wanakwenda kusababisha malumbano, matusi, kuwagawa wananchi, kuigawa jamii, na hadi sasa tunaonekana kuna watu kazi yao ni kuuwawa  na tunalazimika kukubali kuendelea kuuwawa", amesema Mbowe.

Pamoja na hayo, Mbowe ameendelea kwa kusema "tunawaambia wanachama wetu waendelee kuwa waangalifu, wasitembee mmoja mmoja kutokea sasa mpaka siku ya uchaguzi watembee kwa vikundi na wajiweke katika mazingira ya kujilinda wakati wote".

Kwa upande mwingine,  Mhe. Freeman Mbowe amedai vyombo vya dola vimekuwa na ubaguzi katika suala zima la kulinda usalama wa raia wake ambapo jambo hilo sio zuri kiutendaje.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani