Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haitham afunguka mazito kuporwa mume na Amber Lulu

Thursday , 21st Mar , 2019

Msanii Haitham ambaye hivi karibuni ameibua mzozo baada ya kudai Amber Lulu amemchukulia mume wake anayejulikana kwa jina la Niite Boshen, ameweka wazi ukweli wa suala hilo, na kumtaja Amber Lulu kama mwanamke asiye na sifa za kuwa mwanamke wake.

Akizungumzia hilo Haitham amesema kwamba alianza kuona viashiria vya wawili hao muda mrefu wakati Amber Lulu akija kuchora tatoo kwa mume wake, lakini alikuwa akishindwa kufuatilia kwa sababu hakuwa na ushahidi.

Haitham ameendelea kuelezea kwamba hakuna asiyejua kuwa Amber Lulu hawezi kutulia na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kuchukua mwanaume wake, ambaye alikuwa akimchora tatto za bure.

Asimulia kwa hasira

“Amber ana tamaa, hawezi kuridhika na mwanaume mmoja, wote tunafahamu, akaona sasa yule alikuwa anamchora tattoo za bure, isiishie hapo tu akachore na mengine, ila mimi nilianza kuona viashiria vyao tu sivielewielewi sema nikawa sifuatilii. Juzi nilikuwa home na mtoto, from no hwere napigiwa simu oya unajua mume wako yuko sehemu fulani, wakati jana yake alinipigia simu mimi nasafiri, kumbe aliniektia akaondoka na yule”, amesema Hitham kwa hasira.

“Who is Amber Lulu, ni mwanamke gani, ukimuangalia ukinilinganisha na mimi huwezi kutulinganisha, akaona mimi kuwa na Bosheni kama nafaidi, mimi hainipi stress”, ameendelea kusema Haitham.

Kwa upande wa Amber Lulu ameonekana kutojali linaloendelea huku akiendelea kumpost mwanaume huyo, na kumuwekea alama za makopa kopa na caption za kumchamba.

Haitham na Niite Boshen wamezaa mtoto mmoja wa kike, na imeelezwa kuwa wawili hao walifunga ndoa rasmi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea