Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbasha na story ya kumsotea Frola

Wednesday , 11th Jan , 2017

Mume wa mwanamuziki wa Injili Flora anayefahamika kwa jina la Emmanuel Mbasha amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa akihangaika sana kuhakikisha mkewe huyo anarudi nyumbani na kuendelea kuishi kama zamani lakini jitahada zake zimegonga mwamba.

Flora na Emmanuel Mbasha

Emmanuel Mbasha akiongea kwenye kipindi cha eNEWZ alisema kuwa toka mkewe huyo ameanzisha songombingo hilo yeye alikuwa anahitaji mambo hayo yaishe ili mwisho wa siku waishi vizuri tena kama mume na mke kwani yeye hakujiandaa wala kujipanga kuachana na mkewe huyo.

"Kiukweli toka mwaka 2014 nimekuwa nikimbembeleza sana Flora arudi nyumbani, hata niliposhinda kesi nilikuwa namtumia jumbe mfupi kumtaka arudi ili tuishi kama zamani lakini wapi, kila vikao vya usuluhishi vilipoitishwa mwenzangu alikataa, lakini kiukweli kabisa nilikuwa natamani tuendelee kuishi wote kwani tayari tuna mtoto mmoja na mimi sikuwa tayari wala sikujipanga kuachana na Flora na wala sikufikiria kuwa ipo siku nitakuja kuachana naye" alisema Emmanuel Mbasha 

Mbali na hilo Emmanuel Mbasha amemtaka mkewe huyo kumkumbuka Mungu na kuishi katika vitu ambavyo anaviimba kwenye nyimbo zake za Injili kwani yeye ni kioo cha jamii na mtumishi wa Mungu pia. 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani