Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwana FA atoa siri chanzo cha bifu na Jide

Tuesday , 12th Dec , 2017

Msanii Mwana FA ambaye hivi karibuni amemaliza tofauti zake na msanii mwenzake lady Jaydee, ameweka wazi jibu la kitendawili ambacho wengi walikuwa wakijiuliza, juu ya chanzo cha ugomvi wao uliowapelekea kuwa mahasimu.

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mwana FA amesema chanzo kikubwa cha ugomvi wao ilikuwa ni kupangwa kwa show zao kwa siku moja, kitu ambacho kilionekana kumkwaza mmoja wapo.

Sababu kubwa ilikuwa ni show yake na yangu zilianguka tarehe moja , nilikuwa na mipango ya show yangu na nilimwambia, hakuwa na neno, sasa mipango inavyoenda haiendi kwa kalenda yako inaenda kwa kalenda ya wadhamini, bahati mbaya Mangwea akafariki, wote tukaghairisha tukapeleka tarehe 31 na yeye na team yake wakasogeza mpaka 31, na wala haikupangwa kwa sababu yeye alipanga tarehe hiyo hiyo, mimi sikuona kitu kibaya kwa sababu Dar es salaam ina watu zaidi ya milioni 6, mimi nilikuwa nahitaji watu 400 tu nikaona haina tatizo, unajua tumeumbwa binadamu tuko tofauti tutachukulia ubaya, baada ya hapo maneno yakawa yameanza, ila hakukuwa na sababu nyingine zaidi ya hiyo”, amesema Mwana FA.

Kwa muda mrefu wasanii hao walikuwa hawapikiki chungu kimoja, huku wengi wakiwa wanajiuliza nini chanzo cha wawili hao kutoelewana ilhali walikuwa marafiki wakubwa wa kupika na kupakua, na kuja kumaliza tofauti zao mwaka huu.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani