Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vodacom, EATV wawatembelea washiriki Dance 100%

Saturday , 16th Aug , 2014

Kampuni ya Vodacom Tanzania pamoja na EATV, leo hii imeanza zoezi la kutembelea washiriki wa shindano ya Dance 100% 2014 katika kambi zao za mazoezi ili kuangalia mchakato wa maandalizi ya makundi haya kuelekea hatua ya robo fainali.

Meneja Mahusiano Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu akiwa (katikati mwenye T-Shirt nyeusi) na kundi la Mazabe Powder katika kambi yao Tegeta Dar es Salaam leo.

Zoezi hili limeanzia huko Tegeta jijini Dar es Salaam, ambapo leo timu hii imekutana na kundi la Mazabe Powder na kujionea jinsi maandalizi yao yanavyokwenda.

eNewz ambayo imefuatilia zoezi hili kwa karibu, imeweza kuongea na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Bwana Matina Nkurlu ambaye amesema kuwa zoezi hili ni kwa ajili ya kuwahamasisha washiriki kuitumia nafasi hii kwa nguvu na nia moja ikiwa kama fursa ya ajira pia, na kuwahakikishia kuwa Vodacom ipo nao bega kwa bega.

Vilevile muwakilishi wa kundi la Mazabe Powder, Francis Charles ama Dogo JJ akazungumza na kutoa shukrani zake kwa Vodacom na EATV kwa nafasi hii na kuweka wazi kuwa wamewekeza jitihada za kutosha kuleta ushindani mkubwa katika mashindano haya mwaka huu.

Zoezi hili litaendelea tena siku ya kesho kuyafikia makundi mengine yanayoshiriki Dance 100% 2014 katika kambi zao.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani