Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mteule wa Jamhuri ya Sudan hapa nchini Mahjoub Ahmed Abdallah Sharfi mara baada ya kupokea Hati yake ya utambilisho Ikulu jijini Dar es Salaam.

10 Oct . 2016

Raymond akiwa kwenye kipindi cha FNL, EATV

10 Oct . 2016

Kansela wa Ujerumani akiwa na Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita wakizungumza na waandishi wa habari

10 Oct . 2016

Rais wa Kenya (Kushoto),Uhuru Kenyatta akisalimiana na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma

10 Oct . 2016

Jopo la Majaji nchini Nigeria

10 Oct . 2016

Mkuu wa kitengo cha kupambana na kudhibiti dawa za kulevya nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi Mihayo Msekela.

10 Oct . 2016

Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Sara Msafiri Ally.

10 Oct . 2016