Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bodi ya ligi TZ kukutana na TFF kujadili mapungufu

Thursday , 21st Aug , 2014

Bodi ya ligi Tanzania TPLB imesema wanataraji kuwa msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara na ligi daraja la kwanza 2014/2015 utakuwa ni msimu wa mafanikio kuliko msimu uliopita wa 2013/2014

Baadhi ya viongozi wa juu wa TFF ambao watakutana na uongozi wa bodi ya ligi Tanzania TPLB.

Bodi ya ligi Tanzania TPLB imesema imepanga kufanyia marekebisho mapungufu yote yaliyojitokeza katika ligi kuu Tanzania bara VPL na ligi Daraja la kwanza FDL ili kuhakikisha ligi za msimu ujao zinakua bora zaidi ya msimu uliopita

Mjumbe wa Bodi ya ligi Dr. Damas Ndumbaro amesema pamoja na ligi ya msimu uliopita kuwa na mafanikio lakini ilikuwa na changamoto ambazo safari hii watakutana na shirikisho la soka nchini TFF ili kuzitatua

Ndumbaro amesema moja ya Changamoto ni uamuzi na mapungufu katika masuala ya usajili, ambapo kwa mamlaka ya bodi ya ligi hawakuwa na uwezo wa kumfungia mwamuzi anaye boronga zaidi ya kumfuta katika orodha ya kuchezesha ligi husika

Aidha Ndumbaro amesema katika vitu ambavyo havikuwa chini ya bodi hiyo ni suala la maamuzi ya kuwaadhibu waamuzi kwani suala hilo lilikuwa katika kamati nyingine ila wao walikuwa na uwezo wa kumfuta mwamuzi katika ratiba na si kumfungia lakini kwa upande wa makamishna walikuwa na uwezo wa kutoa adhabu yoyote kwa kuwa walikuwa wanawajibika moja kwa moja kwa bodi hiyo

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani