Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Inspector Haroun afunguka bifu yake na Nature

Friday , 15th Dec , 2017

Mkali wa 'hit' za zamani kama asali wa moyo Inspector Haroun maarufu ‘Babu'  amesema hakuwa na bifu na mkali mwenzake kutoka Temeke Juma Nature bali bifu hiyo ilikuwa inatengenezwa na mashabiki.

Inspector amefunguka hayo kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio ambapo amejinasibu kuwa wakati yeye anaoa mwanamke na kuhamia Kijitonyama kutoka Temeke ndio  kipindi ambacho Juma Nature na kundi lake la TMK walitoa ngoma ya 'Shibe shibe'

''Katika mistari ya nyimbo hiyo wamesema 'nyumbani ni nyumbani' watu wakawa wanajua kuwa kuhama kwangu Temeke  ndio akanitungia nyimbo hiyo, baada ya muda kidogo mimi nimetoa 'Mishe mishe' basi ndio tukawachanganya sana kumbe  wala haikuwa hivyo mimi na Nature hatuna tatizo tuko pamoja sana'', amesema.

Msanii huyo amesema kufanikiwa kwake kulitokana na kushiriki katika  shindano la kusaka vipaji lililofanyika Don Bosco, ambapo DJ Bony Love alikuwa Jaji wa shindano hilo, yeye na Luteni Kalama  wakaibuka washindi.

Alipoulizwa  kuhusu wasanii kutoa nyimbo ambayo haidumu kwa muda mrefu, amesema inatokana na kukosa ubunifu ambapo wakati wao  wanang’aa walikuwa wanatumia muda mwingi kuandaa  ngoma zao.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani