Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba watuma malalamiko CAF juu ya waamuzi

Monday , 8th Apr , 2019

Hii leo April 8, uongozi wa klabu ya Simba umetuma barua ya malalamiko yao kwa Shirikisho la Soka Barani Afrika baada ya kupewa taarifa ya kubadilishiwa waamuzi.

Simba na CAF

Simba imefikia hatua hiyo baada ya kupokea barua kutoka CAF kuwa waamuzi ambao walipangwa kusimamia mchezo wa marudio kati ya TP Mazembe na Simba utakaopigwa DR Congo wikiendi hii wamebadilishwa kutokana na sababu za kiufundi.

Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo, Creacentius Magori, imeendelea kusema kuwa mabadiliko hayo hayakupaswa kufanyika bila kuwa na mawasiliano na wahusika, huku ikionesha wasiwasi wao juu ya waamuzi walioteuliwa kuwa na uhusiano wa karibu na taifa la Congo kwakuwa wao ni raia wa Zambia.

Imetoa pendekezo la kurejeshwa kwa waamuzi wa awali ili kuepusha mgongano wa kimaslahi. 

Simba na TP Mazembe zitapambana katika mchezo wa marudio wa robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika mjini Lubumbashi, ambapo mchezo wa kwanza uliofanyika Jumamosi iliyopita, ulimalizika kwa sare ya bila kufungana.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani