Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasimamizi mtihani la 7 waaambiwa chakuzingatia

Tuesday , 10th Sep , 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza kuanza kwa mitihani ya kuhitimu Darasa la Saba kwa watahiniwa 947,221, huku wavulana wakiwa 451,235 na wasichana wakiwa ni 495,986.

Katibu Mtendaji NECTA Dkt Charles Msonde.

Akitangaza tarehe ya Mtihani huo Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt Charles Msonde, amewataka wasimamizi wa Mitihani, wazazi na wamiliki wa shule kutojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwani hawatosita, kuchukua hatua kwa yeyote atakajihusisha na vitendo hivyo, sanjari na kukumbusha umuhimu wa watoto wenye mahitaji maalumu.

''Wasimamizi wahakikishe wanalinda haki ya watahiniwa wenye mahitaji maalumu kwa kuwapa mitihani yenye nukta nundu, maandishi yaliyokozwa pamoja na kuwaongezea muda wa dakika 20 kwa kila saa kwa somo la Hisabati na dakika 10 kwa masomo mengine'', amesema Dkt Msonde.

Aidha kati ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani huo kuanzia kesho Septemba 11 hadi 12, watahiniwa 902,262 watafanya kwa lugha ya Kiswahili, huku wengine takribani 44,959 wakifanya mtihani kwa lugha ya Kiingereza.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani