Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afanyiwa sherehe baada ya kupotea kwa miaka 51

Thursday , 19th Sep , 2019

Mzee wa miaka 81 aitwaye Francis Muthua Chege, amerudi nyumbani baada ya kupotea kwa miaka 51 akiwaacha mke wake na watoto sita katika kijiji cha Ikumbi nchini Kenya.

Mzee Francis Muthua Chege.

Mzee huyo aliiacha familia yake mwaka 1968 wakati huo akiwa ana umri wa miaka 30 na kutokomea katika misitu ya Mau, ila hakumwambia mke wake na watoto wapi anaelekea.

Baada ya kurudi nyumbani Mzee huyo aliwasimulia watu, ndugu, jamaa na marafiki vitu alivyokuwa anafanya baada ya kutoweka kwa miaka 51.

"Nilikuwa nauza mkaa kisha fedha zote ambazo napata zinatumika kununua pombe. Mke wangu wa pili na mtoto wetu wa kiume walishindwa kuvumilia tabia yangu na wakaamua kuodoka. Niliishi katika masikitiko makubwa na hata kuhofia kurejea nyumbani mikono mitupu," amesimulia Francis Muthua Chege.

Ameongeza kusema alikuwa hana hata nauli ya kurudi kijijini kwao ndipo alipoenda katika kituo cha polisi kuomba msaada kupata nauli kurudi kijijini alipotoka.

Baada ya kurejea kijijini kwao wanafamilia waliandaa karamu fupi ya chakula na vinywaji wakisheherekea tukio la kurudi kwake baada ya muda mrefu.

Source By Nairobi News.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani