Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Msijisahau kuna UKIMWI" - RC Mtaka

Saturday , 30th Nov , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema watanzania hasa kundi la vijana hawana budi kujisahau juu ya uwepo wa Ugonja la UKIMWI badala yake wawe makini ili wasikumbane na ugonjwa huo.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka.

Anthony Mtaka ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye Kilele cha Siku ya Kijiji Cha Vijana iliyoandaliwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI TACAIDS, ambayo imefanyika mkoani Mwanza.

Mtaka amesema kuwa "Kuna ujumbe unatembea mtandaoni unasema Jinsi UKIMWI ulivyokaa kimya, unaweza kusema haupo, unatukumbusha tusijisahau sana"

Aidha Mtaka amesema kuwa "hili gonjwa la UKIMWI Rais Mstaafu Mkapa alishalitangaza kuwa gonjwa la Kitaifa ndiyo maana wanafunzi wetu kuna elimu wanapewa juu ya namna ya awali ya kujikinga na ugonjwa huu, na hata mimi mwenmyewe niliufahamu kwa mara ya kwanza nikiwa Shule ya Msingi"

Kwa upande wa Mkurugenzi wa TACAIDS Tanzania Dr Leornard Maboko amesema lengo maonesho hayo ni kuwafikia vijana na wamewafikia kwa asilimia kubwa sana.

"Walengwa wakubwa walikuwa ni vijana na vijana walifikiwa kwa ukubwa zaidi kupitia majukwaa mbalimbali ya burudani" amesema Maboko

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani