Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dodoma watekeleza agizo la Magufuli kwa haraka

Saturday , 30th Nov , 2019

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi, amesema utekelezaji wa agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu ulipaji wa fidia wa eneo la Kikombo lililochukuliwa na Jeshi, kwa ajili ya kujenga Makao Makuu ya Ulinzi yanaanza wiki ijayo.

Rais Magufuli

Mkurugenzi huyo amesema kama maelekezo yalivyotolewa tayari taratibu zote zimeshakamilika ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa fedha na kinachofanyika kwa sasa ni uhakiki wa wananchi wanaopaswa kilipwa.

Amesema kuwa zoezi ambalo linaratibiwa na Wizara ya Fedha linaenda sambamba na ufunguaji wa akaunti za malipo kwakuwa watatumia mfumo wa Serikali wa Kibenki katika kufanya malipo hayo ya fidia ili fedha hizo ziwe salama.

Eneo lote linaukubwa wa hekari 5000, eneo linalokusudiwa kwaajili ya kulipwa fidia ni hekari 3431 na wanufaika wa fidia hiyo ni wananchi 1526, ambao wanapaswa kulipwa fidia Bilioni 3, kuhusu ujenzi wa barabara wa Kilomita 18 kuelekea Makao Makuu hayo nalo zoezi linaendelea kwa kasi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani