Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alikiba ni kama Jini" - K2ga

Wednesday , 8th Jan , 2020

Msanii wa kundi la "Kings Music" K2ga amesema alikuwa anatamani kujirekebisha asiimbe kama Alikiba lakini imeshindikana, pia anaona fahari kuambiwa anaimba kama Alikiba kwa sababu msanii huyo ni kama jini.

Kushoto kwenye picha ni K2ga, kulia ni Alikiba

Akipiga stori na e-Newz ya East Africa Television, ambayo inaruka siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 12:00 jioni, K2ga amesema huwa anaambiwa anaimba kama Alikiba likini anaona hamfikii hata robo.

"Ukiambiwa unacheza mpira kama Ronaldo basi unajua na nashukuru Mungu kwa hilo, ni sahihi watu kuona naimba kama Alikiba kwa sababu kuna watu wanatamani kuimba kama yeye lakini wameshindwa, lakini mimi K2ga napita kama Alikiba ni sahihi kabisa" ameeleza K2ga.

Aidha K2ga ameongeza kwa kusema "Namtumia Alikiba kama mshauri na kila kitu changu ninachokifanya kwenye muziki  Alikiba ni kama jini, sijisifu kwamba naimba kama yeye kwa sababu sijamfikia hata robo au theluthi yake, mimi pia  natamani kuwa kama yeye".

K2ga ameachia audio na video ya wimbo wake mpya uitwao Unaniona.

Zaidi tazama Interview hapo chini.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani