Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Eti Mkuu na huku, nitafyeka vichwa vyenu' -Mwanri

Friday , 17th Jan , 2020

Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, amesema hana mpango wa kuwavumilia baadhi ya  Maafisa watendaji wa Mitaa wazembe, waliopo katika Manisipaa ya Tabora.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri.

RC Mwanri amesema kuwa amejipanga kuwatimua hii ni kutokana na wao kushindwa kutambua wajibu wao, ikiwemo kutosimamia na kudhibiti uharibifu wa mazingira na miundombinu yake, ambao umekuwa ukifanywa na wananchi ndani ya Mji huo.

"Imefikia hatua mmepauka 'you have got no modal authority' ya kusimama mbele ya watu na kuwaambia hili jambo haliwezekani, mnabaki tu kuagiza Mkuu njoo na huku bwana, hakuna cha Mkuu njoo na huku bwana, wote nafyeka vichwa vyao" amesema RC Mwanri.

Aidha RC Mwanri amesema hakubaliani na hali ya watendaji hao kushindwa kuwa na namna  nzuri ya kutatua kero ndogondogo za wananchi, mpaka aitwe Mkuu wa Mkoa.
 
 

HABARI ZAIDI

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani