Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kumbe hiki ndicho kilichompa Gigy Money umaarufu

Friday , 24th Jan , 2020

Mrembo Gigy Money amefunguka na kusema, katika maisha yake yeye ndiyo aliutaka umaarufu tangu zamani, pia umaarufu ulimfuata wenyewe baada ya kuwa kwenye mtandao wa Instagram.

Picha ya msanii Gigy Money

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Gigy Money amesema baada ya kuingia kwenye mtandao wa Instagram na kupiga picha za nusu utupu, ndiyo umaarufu wake ukakua zaidi.

"Mimi niliutaka umaarufu, huwezi kusema jambo limekutaka mwenyewe  kwani  halijanifuata nyumbani, umaarufu ulinifuata baada ya kuwa instagram nikajulikana baada ya kupiga picha za nusu ya mwili ukiwa wazi, lakini baada ya kuwa maarufu nikabadilisha brand yangu" amesema Gigy Money.

"Kama una nyota ya kujulikana na kuwa staa utajulikana tu, huwezi kuzuiliwa kwa chochote, sababu ya kuwa staa nayo ni kazi sio kila mtu ambaye anaweza, kuwa nacho hiko ni kapaji, ndiyo maana kuna wengine wanaenda kwenye mashindano yakutaka wawe maarufu" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani