Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majina yatajwa waliofariki kwa ajali ya Treni

Monday , 23rd Mar , 2020

Wafanyakazi watano wa Shirika la Reli la Tanzania (TRC), wamefariki dunia kutokana na ajali ya Treni ya uokoaji kugongana uso kwa uso na Kiberenge, katika eneo la Mwakinyumbi na Gendagenda mkoani Tanga.

Treni

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano wa TRC Jamila Mbarouk na kusema kuwa ajali hiyo imehusisha watumishi sita wa shirika hilo, ambapo wanne walifariki papo hapo na wawili walifikishwa katika hospitali ya Wilaya ya Magunga, Korogwe ambapo mmoja naye alifariki.

Taarifa hiyo imeyataja majina ya waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni Ramadhan Gumbo, ambaye alikuwa ni Meneja usafirishaji Kanda ya Tanga, Mhandisi Fabiola Moshi ambaye alikuwa ni Meneja ukarabati wa mabehewa ya abiria kanda ya Dar es Salaam, mwingine ni Joseph Komba ambaye alikuwa ni Meneja Msaidizi usafirishaji kanda ya Dar es Salaam.

Wngine ni Philibert Kajuna ambaye alikuwa ni Mtaalam wa usalama wa Reli na George Urio ambaye alikuwa ni dereva wa Kiberenge, ambapo uchunguzi unafanyika ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani