Makao Makuu ya TFF
Ufafanuzi huo umekuja mufa mfupi baada ya Mkurugenzi wa TAKUKURU Brigedia John Mbungo, kusema wanafanya uchunguzi juu ya matumizi ya fedha ndani ya Shirikisho la Soka zikiwemo hizo Bilioni moja.
Zaidi soma taarifa kamili hapo chini.