Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtia nia wa Urais CHADEMA adai hana anayemhofia

Thursday , 18th Jun , 2020

Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Leonard Manyama, amesema kuwa miongoni mwa majina 11 ya watia nia yaliyotangazwa na chama hicho, haoni hata mmoja ambaye anaweza akamzidi na hivyo yeye ndiyo atapewa ridhaa ya kupepeperusha bendera ya chama.

Leonard Manyama, Mtia nia wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA.

Manyama ameyabainisha hayo leo Juni 18, 2020, wakati wa mazungumzo maalumu na EATV&EA Radio Digital, ambapo pia amevitaja vipaumbele vyake katika siku 100 za kwanza pale atakapokuwa amechaguliwa na wananchi, ikiwemo kujenga Taifa lenye umoja na mshikamano, kwa madai ya kuwa vitu hivyo havijafanyika tangu mfumo wa vyama vingi uanze hapa nchini.

Aidha amesisitiza kuwa ataliunganisha taifa katika masuala ya Mungu, uhuru wa vyombo vya habari na kwamba katika utawala wake hatoogopa kunyoshewa vidole kwa kuweka usawa kwa kila mtu

"Wagombea wote waliojitokeza kutangaza nia wana uwezo na sifa stahiki, mimi ninategemea kwa kila mmoja wetu anaweza kuchaguliwa na chama, na katika wote tuliochaguliwa sina ninayemhofia ila ninawaheshimu wanachama wenzangu" amesema Manyama.

CHADEMA tayari imekwishawatangaza watia nia 11 wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwemo Lazaro Nyalandu, Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Peter Msigwa, Richard Simba, Shaban Msafiri na wengine.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani