Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kura zihesabiwe hadharani" -  Rais Magufuli

Monday , 20th Jul , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt John Magufuli, amesema katika nafasi ya Ubunge jumla ya waliojitokeza kutia nia ya kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya vhama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba ni 10, 367. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John POmbe Magufuli.

Rais amesema hayo leo Julai 20, 2020 wakati akizungumza na viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni mara baada ya kuwaapisha Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, ambapo ameagiza kura za maoni zihesabiwe hadharani.

"Ni kweli mmepata nafasi hizi kwa sababu ya fursa nina imani mlioteuliwa mtakwenda kutekeleza wajibu wenu, mpaka leo waliochukua fomu za Ubunge na uwakilishi kupitia CCM ni 10,367 na waliorudisha fomu ni 10321, kwahiyo ambao hawakuzirudisha ni 46", amesema Rais Magufuli.

Julai 14 hadi 17 chama hicho kilifungua dirisha la uchukuaji fomu kwa watia nia wa nafasi za Ubunge na Udiwani, ambapo imeshuhudiwa maelfu ya watia nia tofauti na chaguzi zilizopita na huenda uchaguzi wa mwaka 2020, ukawa umeweka rekodi ya pekee.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani