Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za kifedha

Friday , 9th Oct , 2020

Wanawake nchini wametakiwa kuondokana na fikra kandamizi za mfumo dume ambao huwafanya kuhisi kutokuweza kufanya chochote kwa maendeleo hivyo wametakiwa watumie fursa zilizopo katika sekta ya fedha ili kukuza uchumi wao.

Gloria Njiu Mkuu wa kitengo cha huduma cha kidigitali, NCBA.

Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA), Dkt. Mussa Juma katika jukwaa la wanawake la kifedha Tanzania kwa mwaka wa pili linaloratibwa na benki ya NCBA ikishirikiana na asasi nyingine za kifedha kwa lengo la kuwainua wanawake katika sekta za kifedha na kiuongozi.

Akizungumza kwa niaba ya taasisi za kifedha nchini, Bi. Gloria Njiu, ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kidigitali cha benki ya NCBA, amesema benki hiyo inahamasika zaidi kuwashika wanawake mkono katika sekta za kifedha na pia imeboresha zaidi huduma zao kwa kuwaletea huduma hizo kiganjani kwa ushirikiano na M-Pawa

Benki ya NCBA inashiriki kwenye Jukwaa la Wanawake la Kifedha linalofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambapo usiku wa leo kunashuhudiwa utoaji wa tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta ya biashara na uchumi hapa nchini.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani