Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ugonjwa wa ajabu waua watu wanane Kenya

Friday , 9th Apr , 2021

Ugonjwa wa ajabu umeua watu wanane kwenye kijiji kidogo kilichoko katika  Kaunti ya Kakamega nchini Kenya.

wakazi wa kijiji cha Shina

Mamlaka husika zilithibitisha vifo katika wadi ya Isukha Magharibi, lakini sababu ya ugonjwa huo bado haijafahamika.

Moja ya dalili ambazo wagonjwa wameeleza kuwa nazo ni pamoja na kutokewa na vipele vinavyowasha ambavyo hupelekea malengelenge na kuvimba kwa mikono, na kusababisha kifo hapo baadae.

Aidha, mmoja wanakijiji alisema hofu ilishika kijiji cha Shina kutokana na  uvumi ulioenea kwamba ugonjwa huo kuhusishwa na imani za kichawi baada ya pombe ya kienyeji kuibwa kutoka nyumbani na mmiliki wa nyumba kutishia kwenda kwa mganga.

Nao wagonwa amabao wanasumbuliwa na ugonjwa huo wamelalamikia maumivu makali wanayoyapata ilihali tiba za asili zikishindwa kusaidia na wengine wakishindwa kwenda hospitali kwa hofu.

“Mume wangu alianza kufanya vitu sio vya kawaida, aliniambia hakuwa mzima na aliogopa angekufa na hata alitishia kujiua kwa sababu ya maumivu,” alisema mjane Violet Wiraka ambaye alishuhudia mumewe akiugua ugonjwa hadi kukumbwa na umauti. 

Kwa upande wake Gavana wa Kaunti ya Kakamega Wycliffe Oparanya amesema wanasubiri ripoti kutoka kwa timu ya wataalum wa afya walioituma ili waweze kukabiliana na hali hiyo kwani bado nchi ipo kwenye wimbi la virusi la corona.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani