Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nape atoa ya moyoni kuhusu Hayati Dkt. Magufuli

Thursday , 15th Apr , 2021

Mbunge wa Jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli atakumbukwa kwa mafunzo aliyoyaacha Tanzania, Afrika na Dunia nzima.

Mbunge wa Mtama Nape Nnauye (kushoto) akiwa na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. Magufuli alimpomtembelea Ikulu, Dar es salaam.

Nape ameyasema hayo leo Aprili 15, 2021 bungeni, ambapo amesema 'legacy' ya Hayati Dkt. Magufuli inajitetea yenyewe kwa yale aliyoyafanya na yeye anajisikia fahari kwa kushiriki katika mchakato wa kumpata ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015.

''Ninajisikia fahari kwamba nilishiriki ndani ya chama na nje ya chama katika mchakato wa kumpata Dkt John Pombe Magufuli mwaka 2015, amefanya kazi nzuri kwa taifa letu, ameacha alama nyingi kubwa ambazo hazitasahaulika,'' amesema Nape Nnauye.

Aidha ameongeza kuwa, ''Dkt. Magufuli ameacha mafunzo mengi, kwa nchi yetu, kwa chama chetu, kwa bara la Afrika na hata Dunia inajadili mafunzo aliyotuachia, namshukuru Mungu kwa maisha ya Dkt. Magufuli kwa nchi yetu.''

Amemaliza kwa kusema kuwa watu waendelee kufanya mazuri kwa nchi yao, kwani ukifanya hayo hauna haja ya kuyatetea bali yatajitetea yenyewe kwa vizazi na vizazi.

"Legacy haitetewi, legacy inajitetea yenyewe hasa ile iliyofanywa na mtu kama Dkt. Magufuli, legacy yake itajitetea, itajisimamia kwa miaka, unless mtu ana mashaka na legacy yake lakini kama hakuna mashaka legacy yake itasikiliziwa, itasemwa, itaongea na sisi watoto, wajukuu na vitukuu kwa sababu haya aliyoyafanya watayakuta tu hakuna haja ya kugombana," ameeleza.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani