
Mwandishi wa Habari wa Azam Media, mkoa wa Kagera Nicolaus Ngaiza, wakati wauhai wake
Katika ajali hiyo pia mwandishi wa habari wa Clouds Media Group Benson Eustace, alikuwemo na amejeruhiwa na amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Kagera wodi namba nne akiendelea kupatiwa matibabu.
Ajali hiyo imetokea wakati wakiwa njiani kurudi Bukoba. Taarifa kamili zitatolewa baadae.