
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu amesema kwamba jukumu la kulea watoto na kutafuta mahitaji ni la wazazi lakini wajibu wa kuwasomesha watoto hao ni wa serikali.
“Tulishasema, mtoto wa Kitanzania kwenda shule ni lazima, watoto ni wao, lakini kwenda shule ni lazima, ndiyo maana serikali ilifuta ada katika shule zote," amesema Waziri Mkuu