Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA wataja walichoteta na Rais Samia Ikulu

Monday , 23rd May , 2022

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetaja mambo kumi waliyoyafikisha katika kikao walichoshiriki wiki iliyopita kilichoongozwa na Rais Samia Suluhu na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM na CHADEMA.

Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika

Akizungumza na wanahabari leo Mei 23/2022 Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema miongoni mwa ajenda hizo ni Mchakato wa Katiba mpya, Madhara ya ukiukwaji wa haki kwa miaka sita iliyopita na kupendekeza kuundwa kwa tume ya ukweli na upatanishi.

Mengine ni kushughulikiwa kwa madhara yaliyotokana na uchaguzi wa 2020, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake, kufutwa kwa kesi zenye muelekeo wa kisiasa, kurekebisha sheria kandamizi, kushughilikia masuala yanayohusu viongozi, wanachama na watu walioshambuliwa, kupotea au kuuawa kwa sababu za kisiasa.

Aidha ametaja masuala mengine kuwa ni sakata la wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa CHADEMA, hakikisho la usalama kwa viongozi waliopo nje kwa sababu za kisiasa, kuvurugwa kwa kambi ya upinzani bungeni, pamoja na madhara yaliyowakumba watu mbalimbali kwa sababu ya kukandamizwa kwa haki na Demokrasia.

Mnyika amewataka wanachama wa CHADEMA kuwa watulivu katika kipindi hiki cha mazungumzo hayo huku akisema taarifa za kinachoendelea kitatolewa kupitia vikao halali vya chama hicho

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani