Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga
Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa mkoa wa Shinyanga Daktari Luzila John, amesema wamepokea mwili wa mwanamke huyo ambaye alipoteza maisha katika eneo la ajali na mtoto wake alifariki baadaye wakati akipatiwa matibabu.