Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TPA Tanga yajipanga kushawishi wamiliki wa Meli

Friday , 30th Dec , 2022

Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA mkoa Tanga imesema kuwa imeandaa mikakati ya kupunguza gharama kwa muda maalumu (Low Cost) ili kuwavutia wateja na kufanya mazungumzo ya kuwashawishi wamiliki wa meli kuanza kuleta meli kubwa bandari ya Tanga badala ya kutumia bandari jirani. 

Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha

Hayo yamebainishwa na Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha wakati waandishi wa habari za kiuchumi, biashara na uwekezaji walipotembelea bandari hiyo na kujionea maboresho yanayoendelea katika bandari hiyo.

Meneja Mrisha amesema serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), inatekeleza mradi huo mkubwa wa kimakakati wa maboresho makubwa katika bandari ya Tanga ili iweze kuchangia kikamilifu katika kukuza pato la Taifa kwa kuhudumia wateja wa ndani na nchi jirani ambazo zinategemea bandari za Tanzania kusafirisha bidhaa kutoka na kwenda nje ya nchi. 

"Mikakati yetu ya kimasoko baada ya kukamilika kwa ujenzi huu ni pamoja na kuitangaza bandari ya Tanga kwa kutumia vyombo vya ndani kama Radio na luninga na kuonyesha makala maalumu nje ya nchi kwa kutumia watumishi wa bandari waliopo nchi tunazohudumia, pamoja na Balozi zetu nchi mbalimbali kuitangaza bandari," amesema Mrisha. 

Kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika mradi wa maboresho ya bandari hiyo mradi huo utakapokamilika utakuwa na faida mbalimbali ikiwemo uwezo wa bandari ya Tanga wa kuhudumia shehena utaongezeka kutoka tani  750,000 mpaka tani 3,000,000.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani