Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wahandisi waongezeka Tanzania

Wednesday , 7th Jun , 2023

Licha ya Serikali na wadau kuzidi kuweka mazingira kwa watoto wa kike kujitokeza kwa wingi katika masomo ya Sayansi bado changamoto ipo kwa baadhi ya maeneo ambapo wanawake Wahandisi Tanzania wamesema malengo yao kwa sasa kuwapa morali zaidi wasichana wenye ndoto ya kuwa wahandisi

Kauli hiyo imetolewa na Mhandisi Rehana Juma ambaye ni Mwenyekiti wa wanawake wahandisi Tanzania amesema licha ya changamoto wanazopitia wasichana katika mafunzo yao lakini idadi ya wanawake wahandisi inazidi kuongezeka kila Uchwao.

Hata hivyo kwa upande wake Ester Christopher ambaye ni mhandisi mkongwe wa siku nyingi amesema umekuwa ni utaratibu wao kuandaa maonyesho ya kazi za kibunifu kutoka kwa wahandisi wanawake kutoka kwa wanafunzi wa shule za sekondari na vyuo lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wahandisi wanawake lakini pia kuwapa nafasi wahandisi wachanga ya kukutana na Magwiji kwenye sekta hiyo ya Uhandisi.

Licha ya jitihada mbalimbali ambazo serikali imekuwa ikitoa katika masomo ya sayansi kwa watoto wa kike ili kupata wahandisi wengi zaidi bado vipo baadha ya vikwazo ikiwemo kipato duni kwa baadhi ya familia na uoga.

Wanawake wahandisi kwa mwaka huu watakutana kwa siku mbili visiwani Zanzibar wakiwa na dhima ya pamoja isemayo Nguvu ya ushirikishwaji na uhusihwaji wa wanawake kwenye fani za kihandisi.

HABARI ZAIDI

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani