
Pichani Marioo Na Chino Kidd
Akipiga story na kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Televisino Chino Kidd Amesema....."Wote tupo chini ya Bad Nation na hamna mtu ambaye anajikuzisha mfano kaka yangu Diamond ametokea Sharobaro lakini sasa hivi Diamond ni mkubwa kuliko Sharobaro kwahiyo kukua ni wewe mwenyewe unavyopambana''
"Mwamvuli haukufanyi uwe chini zaidi mwamvuli unakubariki hivyo unapaswa kuuheshimu lakini pia usijijaze kuwa kukaa hapa unakuwa mdogo udogo/ukubwa ni wewe unavyofanya kazi'' Amesema Chino Kidd