Dkt Abbas ataja manufaa ziara ya Rais Marekani

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwenyekiti wa Kamati ya Rais ya Kuitangaza Tanzania, Dkt Hassan Abbas amesema kuwa wawekezaji wakubwa zaidi ya watano wameahidi kuja Tanzania baada ya kukutana na Rais Samia nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS