Rekodi za Chelsea Kiboko FA Cup, yaipiku Liverpool

Chelsea na Liverpool zinakutana kwenye fainali ya FA Cup kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2012

Mchezo wa fainali ya kombe la FA (FA Cup) nchini England unaozikutanisha Livepool na Chelsea leo jioni, mchezo unaochezwa katika dimba la Wembley Jiji London England ni fainali ya 141 ya michuano hii mikongwa kabisa Duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS