
Kushoto ni Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, na kulia ni mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu.

Mgombea urais kupitia CUF Profesa Ibrahim Lipumba

Kushoto ni mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, na kulia ni Marehemu Mzee Samuel Sitta wakati wa uhai wake.

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Queen Sendiga.

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu

Kushoto ni mgombea ubunge wa Jimbo la Ulanga Salim Hasham Alaudin

Mgombea urais kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli.

Kushoto ni mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli na kulia ni mgombea urais wa Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi.

Mgombea Urais Zanzibar, kwa tiketi ya chama cha Act-Wazalendo Maalim Seif Hamad

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli

Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee

Kushoto ni aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kulia ni mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli.

Mgombea urais kupitia CUF Profesa Ibtahim Lipumba, akizungumza na wananchi wa mkoa wa Tanga

Mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad.