
Baadhi ya mashabiki wa klabu ya Nice ya Ufaransa wakionekana wakivamia uwanja na kufanya vurugu dhidi ya wachezaji wa klabu ya Merseille kwa kuanza na Dimtri Payet.

Eneo la ajali iliyouwa wafanyakazi wa TRA

Baadhi ya wachezaji wa klabu ya Azam wakiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar kabla ya kukwea pipa kwenda nchini Zambia.

Mbunge wa jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima

Mshambuliaji wa Chelsea, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza akiwa mchezaji wa Chelsea, kufuatia kuifunfa Arsenal dakika 15 kwenye ushindi wa 2-0 usiku wa jana.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Bondia Yordenis Ugas akikabidhiwa mkanda kwenye pambano la mkanda wa uzito wa juu wa WBA 'super' middleweight.