
Mlinzi nyota wa Denver Nuggets, Will Barton.

Kikosi cha Mbeya City kilichopanda ligi kuu msimu ujao 2021/22

Kipande cha picha kushoto, kinaonesha namna Harry Kane alivyopata maumivu kwenye kifundo chake cha mguu wa kulia baada ya kuangukiwa na Richarlson.

Timu ya Mpira wa Kikapu ya Wasichana Mkalapa wakiwa katika picha ya pamoja na Makocha wao Uwanja wa ndani wa Taifa Jijini Dar es Salaam Mara baada ya Kushika Nafasi ya Tatu,Mashindano ya Muungano Wiki iliyopita

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu

Rais wa shirikisho la soka Ulaya Aleksander Caferin

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi

Moja ya picha za satelite za kimbunga Jobo kutoka TMA

Baadhi ya mashabiki wa Manchester United walioandamana jioni ya leo wakiwa na bango lenye ujumbe wa kuwataka wamiliki wake waachie ngazi.