Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Steve Nyerere atoa siri kubwa ya Wema

Thursday , 28th Mar , 2019

Msanii wa filamu na mchekeshaji maarufu nchini, Steve Nyerere, ambaye pia ni mtu wa karibu sana wa Wema Sepetu, ametoa siri kubwa ambayo wengi walikuwa wanatamani kujua kutoka kwa mwanadada huyo.

Steve amekuja na jibu la nani aliyezama kwenye mahusiano na Wema kwenye mahusiano kwa sasa, baada ya kuchangia maoni yake kwenye ukurasa wa Instagram wa mwanadada huyo akimsifia shemeji yake mpya, baada ya kumposti.

Wema aanza kuvujisha siri

 

Picha zima lilianza baada ya Wema kuposti video ya mwanaume huyo anayejulikana kwa jina la Danzak, ambapo Steve alikuja na kuandika ujumbe akisema, "shemeji katutendea haki kwa hii ngoma, daah katoa voko ya ajabu sana hakuna mtu anaimba kama uyu toka tumepata uhuru, huyu ni kiboko, nyimbo inayofuata imba naye”.

Coment ya Steve kwneye post ya Wema Sepetu
Ujumbe huu wa Steve Nyerere ni utambulisho tosha kuwa Wema Sepetu sasa anamilikiwa na msanii huyo, ambaye pia ana makazi yake nchini Oman huku akiwa na kazi nyingine yenye mkwanja mrefu ya urubani.

Kwa muda mrefu mlimbwende huyo amekuwa akificha maisha yake ya mahusiano, tangu alipokumbwa na skendo ya kuvuja video zake akiwa faragha na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la PCK mwishoni mwa mwaka uliopita.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani