Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dismas Ten amkaribisha mwekezaji wa bilioni 120

Wednesday , 10th Apr , 2019

Afisa habari wa Yanga, Dismas Ten amewatupia dongo jipya watani wao wa jadi Simba baada ya kutaja thamani ya klabu hiyo.

Mashabiki wa Yanga

Katika ukurasa wake wa Instagram, Dismas Ten ameandika kuwa baada ya uchaguzi kupita, klabu hiyo itaingia katika uwekezaji mkubwa huku akitaja thamani ya klabu hiyo kuwa ni takribani bilioni 120.

"Kwa kuwa umekubali acha nikustue jambo. Kwa mujibu wa taarifa na hesabu zilizopo mezani, thamani ya Yanga ni Tsh bilioni 120 (Mara ya sita ya thamani ya Simba) ikiwa na gawanyo la bilioni 30 kwa Kila miezi 3 katika miezi 12 inaunda mwaka mzima", amesema Dismas.

"Anyway kwenye hili najua wengi hawataelewa, wachache wataelewa ukiwemo wewe kwa sababu ni mfanyabiashara mwenye akili kubwa, najua utashtuka kidogo but ndo ‘nshakusanua mtindo’. Acha tusubiri uchaguzi upite, karibu sana YANGA SC ila 'please' ujumbe kwenye bango uuchukulie kwa uzito wa juu..!", ameongeza.

Yanga itaingia katika uchaguzi mkuu mnamo mwezi ujao, ikiwa ni baada ya kusuasua kwa taratibu za uchaguzi wa awali zilizokuwa zikisimamiwa na TFF.

Ikumbukwe kuwa Simba iliingia katika mfumo wa mabadiliko, baada ya mwekezaji Mohamed Dewji 'Mo' kujitokeza na kuweka kiasi cha bilioni 20 ambazo zilikwenda sambamba na hisa za asilimia 49.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani