
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
23 Aug . 2022

Waziri wa Fedha na Mipango na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Kinampanda Wilayani Iramba Singida, Bi. Winzuka Mkumbo, aliyefariki kwa ajali ya gari.
22 Aug . 2022