
Mbunge Mussa Hassan, aliyefariki dunia
Mazishi ya mbunge huyo yatafanyika hii leo saa 10:00 jioni kijijini kwao Bwejuu wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.
Mbunge wa Jimbo la Amani, Mussa Hassan, amefariki dunia hii leo Oktoba 13, 2022, visiwani Zanzibar.
Mbunge Mussa Hassan, aliyefariki dunia
Mazishi ya mbunge huyo yatafanyika hii leo saa 10:00 jioni kijijini kwao Bwejuu wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.