Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu akiongea na Wananchi

31 Jul . 2015

Katikati ni mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro, Deogratius Luta na kulia ni Katibu wa CCM mkoa huo Idd Juma Mohamed Wakizungumza na Mh. Steven Wassira.

30 Jul . 2015

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya alieshika mic Samwel Kiboye maarufu kama Namba 3akizungumza na wananchi wa Kata ya Utegi wilayani humo.

30 Jul . 2015

Mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Iringa Mjini Balozi Augustino Mahige.

29 Jul . 2015

Menyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa Njombe Deo Sanga ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Njombe Kaskazini

27 Jul . 2015

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye ni mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo la Mtwara vijijini, Mhe. Hawa Ghasia.

21 Jul . 2015

Katibu wa CCM mkao wa Dodoma Albart Mgumba akikata utepe kuzindua ofisi za chama hicho kata ya Chang'ombe.

21 Jul . 2015

MBUNGE wa jimbo la Kyela na waziri wa Afrika Mashariki Dr,Harrison,Mwakyembe akihutubia wananchi katika mkutano wa Hadhara.

21 Jul . 2015

Mkufunzi wa chuo cha mipango kilichopo mkoani Dodoma Dkt. Lucas Mwambambale ambae ametangaza nia ya kugombea jimbo la kyela.

17 Jul . 2015

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia chama cha (CCM) Bw. Frank Kibiki.

17 Jul . 2015

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Taifa Alhaji Abdallah Bulembo

16 Jul . 2015

Jengo jipya la Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Dodoma.

16 Jul . 2015

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) jana katika ukumbi wa White House mjini Dodoma.

11 Jul . 2015