Mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo Anna Mghiwira.

8 Oct . 2015

Mgombea Urais aliesimamishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA, kupitia CHADEMA, Mh. Edward Lowassa.

2 Oct . 2015

Mgombea Urais kuptia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chini ya Mwamvuli wa UKAWA Mh. Edward Lowassa akizungumza na Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Freeman Mbowe

21 Sep . 2015

Mgombea Urais wa kupitia CCM John Pombe Magufuli na Mgombea Urais kupita UKAWA Mh. Edward Lowassa

11 Sep . 2015

Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),chini ya Mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),Mh. Edward Lowassa akihutubia mkutano Kibamba

8 Sep . 2015

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia na kunadi sera zake kwa wananchi

7 Sep . 2015

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,

1 Sep . 2015

Mgombea Urais kupitia chama cha Demekrasia na Maendeleo CHADEMA, ambae pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA,Mh. Edward Lowassaa akihutubia Wananchi walijitokeza jijini Mwanza.

17 Aug . 2015

Waziri Mkuu wa Zamani na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akizungumza na Waandishi wa Habari hivi karibuni

30 Jul . 2015

Mh. Freeman Mbowe (kushoto) akimpongeza Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa mara baada ya kujiunga na CHADEMA.

29 Jul . 2015