Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohamed Yusuph akimuwekea kizingiti nahodha wa TMT, Is-haka Masoud asiweze kuenda upande wa pili.

13 Aug . 2017

Watangazi wa EATV katika kipindi cha 5selekt Tbway, FNL Sammisago pamoja na manahodha wa timu za zilizoingia fainali ya #SpriteBBallKingsFinals2017 wakiwa pamoja na wanafunzi wa sekondari ya Makongo.

10 Aug . 2017

Manahodha wa timu zinazocheza nusu fainali ya pili michuano ya Sprite BBall Kings.

27 Jul . 2017

Nahodha wa Flying Dribblers, Geofrey Lea.

26 Jul . 2017

Kikosi cha timu ya Mchenga BBall Stars.

20 Jul . 2017

Wachezaji kutoka timu tofauti.

19 Jul . 2017

Kikosi cha timu ya TMT.

18 Jul . 2017

Nahodha wa timu ya Flying Dribblers, Geofrey Lea

6 Jul . 2017

Kamishna wa ufundi na Uendeshaji mashindano wa Shirikisho la mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Manasseh Zablon.

5 Jul . 2017

Mkuu wa vipindi vya East Africa Radio Nasser Kingu (Kushoto) na mtangazaji wa EATV, Suzy, wakiendesha droo ya nne kupanga ratiba ya michuano ya Sprite BBall Kings iliyofanyika usiku wa kuamkia leo.

4 Jul . 2017