Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia na kulia ni Mbunge mteule wa jimbo la Vunjo Dkt. Charles Kimei.

29 Oct . 2020

Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi.

29 Oct . 2020

Pichani ni aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

29 Oct . 2020

Pichani ni Wabunge wateule kwa tiketi ya CCM, Kushoto ni Godwin Mollel (Siha), Mwita Waitara (Tarime Vijijini), Kulia ni David Silinde (Tunduma)

29 Oct . 2020

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule 'Prof Jay'

29 Oct . 2020

Kulia ni Freeman Mbowe aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Hai, Kushoto ni Mbunge Mteule wa Jimbo la Hai, Saasisha Mafuwe.

29 Oct . 2020

Pichani ni Dkt Tulia Ackson, Mshindi mteule wa Ubunge, Jimbo la Mbeya Mjini.

29 Oct . 2020

Kushoto ni mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, na kulia ni mgombea Urais Dkt John Pombe Magufuli.

28 Oct . 2020

Picha ya kati ni Faiza Ally, kulia ni Dogo Janja, kushoto ni kitambulisho alichotumia msanii wa filamu Riyama Ally

28 Oct . 2020

Rais wa Zanzibar, anayemaliza muda wake Dkt.Ali Mohammed Shein akiwa anapiga kura leo visiwani Zanzibar.

28 Oct . 2020

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM), Dkt.John Pombe Magufuli

28 Oct . 2020

Kushoto ni mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi na kulia ni mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad.

28 Oct . 2020

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro.

27 Oct . 2020

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera.

27 Oct . 2020

Afisa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Daniel Kalinga

27 Oct . 2020