Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akisindikizwa Mahakamani, (Picha hii ni tukio lililotokea siku za nyuma halihusiani jinsi alivyokamatwa siku ya Jana)

30 Sep . 2015

Kampeni za mgombea urais kupitia UKAWA akiwa amezungukwa na Umati wa Watu jana Jijini Tanga ambapo mkutano wake Uliahirisha kutokana na msongamano

29 Sep . 2015

Mgombea nafasi ya ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw. Fredrick Mwakalebela.

28 Sep . 2015

Alieyekuwa Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi celina Kombani.

25 Sep . 2015

Shekhe na Kadhi mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Shaaban.

25 Sep . 2015

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia (UKAWA), Mhe. Edward Lowassa.

22 Sep . 2015

Mmoja wa wagombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC, Hamad Rashid Hamad ambae alikua ni mmoja ya wagombea waliojitokeza katika mdahalo huo.

21 Sep . 2015

Kamanda wa polisi mkoa wa mbeya, kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi, Ahmed Msangi.

19 Sep . 2015

Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Hassan Mtenga

18 Sep . 2015

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Misime

14 Sep . 2015

Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa kampeni

14 Sep . 2015

Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015

14 Sep . 2015

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Mh. Idd Azzan

12 Sep . 2015

Mgombea Urais wa kupitia CCM John Pombe Magufuli na Mgombea Urais kupita UKAWA Mh. Edward Lowassa

11 Sep . 2015

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dk.Helen Kijo-Bisimba

9 Sep . 2015