
Mkurugenzi Tume ya Tehama Samson Mwela (aliyesimama) akitoa mafunzo maalum kwa watangazaji na waandishi kutoka kituo cha East Africa Television na East Africa Radio.

Mzee Peter Itunga, mkazi wa eneo la Mwananchi Tabata Dar es salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula.

Picha ya lori kutoka eneo la ajali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Innocent Bashungwa akiongea mbele ya wanahabari kuhusu masuala ya kuboresha soka nchini.

Kikosi cha klabu ya KMC cha msimu uliomalizika wa mwaka 2020-2021.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro

Picha ya pamoja ya wachezaji Vincent Kompany na David Silva