Kundi la P.O.D ambalo limeshiriki Dance100% kwa mara ya kwanza.

30 Jul . 2016

Mkuu wa Matukio ya Sanaa kutoka BASATA Bwn. Kurwijira N Maregesi

30 Jul . 2016

Kundi la Best Boys lilipokuwa likionyesha ufundi wa kucheza TCC Chang'ombe.

30 Jul . 2016

Kundi la Mafya Crew ambalo lilishiriki usaili wa kwanza.

29 Jul . 2016

Majaji wa Dance100 2016

28 Jul . 2016

Jaji wa Shindano la Dance100 Lotus akionyesha alama kwa moja ya kundi lililoshiriki usaili viwanja vya Don Bosco Upanga Dar es salaam.

23 Jul . 2016

Kundi la The Quest Crew, ambalo limefanikiwa kutinga tano bora ya usaili wa Dance100 Don Bosco Upanga Dar es salaam.

23 Jul . 2016

Kundi la J Combat Crew kutoka Zanzibar lilipokuwa likionyesha vipaji katika uwanja wa Don Bosco Upanga Dar es salaam

23 Jul . 2016

Jaji wa Dance100 Super Nyamwela

22 Jul . 2016

Jaji wa Dance100 Khalila akiwa anaonyesha alama kwa kundi lililoshiriki shindano.

20 Jul . 2016

Mtangazaji wa Shindano la Dance100% Tbway 360 alipokuwa akiendelea na kazi viwanja vya Leaders Dar es salaam.

17 Jul . 2016

Kundi la Mafia Crew lilipokuwa likionyesha uwezo wao shindano la Dance100%

17 Jul . 2016

Majaji wa shindano la Dance100% 2016 walipokuwa kazini Leaders Jijini Dar es salaam.

16 Jul . 2016

Maneja uhusiano wa Vodacom Tazania Bwn. Matina Nkurlu (wa katikati) akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.

14 Jul . 2016
  •