Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi

5 Sep . 2017

Timu ya Mchenga BBall Stars wakiwa pamoja na Afisa Masoko msaidizi wa kampuni ya Coca-Cola Pamela Lugenge (aliyevaa t-shirt ya blue).

2 Sep . 2017

Kamishna wa Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Manase Zablon.

2 Sep . 2017

Mchezaji wa timu ya Mchenga BBall Stars, Amini Mkosa.

29 Aug . 2017

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee.

28 Aug . 2017

Vikombe vya washindi wa michuano ya Sprite BBall Kings.

21 Aug . 2017

Kocha wa timu ya TMT, Evans Davies Mwaseba.

21 Aug . 2017

Nahodha wa Mchenga BBall Stars Mohamed Yusuph akimuwekea kizingiti mchezaji kutoka TMT, Erick Lugora.

19 Aug . 2017

Nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud.

18 Aug . 2017

Nahodha wa timu ya Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy'.

18 Aug . 2017

Wachezaji wa TMT na Mchenga BBall Stars (jezi nyeupe) wakiwa katika mpambano.

18 Aug . 2017

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron.

17 Aug . 2017